Posts

Unajua NINi lakini aujui ViPi

Maneno mawili tuu "nini" na "vipi" ni mepesi lakini yana maana kubwa sana nikisema nini naamaanisha kuwa ni nini katika mafanikio au katika biashara zako katika maisha yako unajua nini unatakiwa kufanya lakini tatizo linatokea ni kivipi unaweza kufanya hicho kitu yaani ni kivipi unatakiwa kufanya hiyo nini,nini unaweza kuwa biashara yako au mafanikio yako au mipango yako au nini inaweza kuwa ni ndogo zako unajua nini cha kufanya ila bado haujatambua ni njia ipi au ni kivipi tukimaanisha ni vipi unaweza kufanya. Ushauri wangu ni mdogo tu ila wa uhakika na Mzuri kama unahitaji kuitimiza iyo nini ni lazima ujue ni kivipi usianze kukurupuka utapotea na kuharibu anza kwa kutafuta njia ya kuitimiza kabla ya kufanya iyo nini.

Umezaliwa tajiri ila unakufa maskini

Hakuna binadamu asiyependa mafanikio na kama tunahitaji mafanikio Basi tufanye hakuna kukata tamaa wala kurudi nyuma kama tujuavyo kuwa mafanikio

Kanuni kumi za mafanikio

1. Kuwa na ndoto ( have a dream ) 2. Fikiri kama mshindi ( think as a champion ) 3. Weka masharti ( be committed ) 4. Kifanye sasa hivi ( do it right now ) 5. Jiandae ( be prepared ) 6. Weka maneno yako ( keep your words ) 7. Tengeneza mipango ( set goals ) 8. Tafakari wapi ulipo ( evaluate where you are ) 9. Kuwa mkamilishaji ( have integrity ) 10. Usiache ( do not quit )

Mambo muhimu ya kufikiria

Fikiria haya yatakusaidia vizuri katika maisha yako ya kila siku.   - what does it mean when you are handsome but very successfully failure.   - if you fear failure it will come, you will do if you really. You have to be responsible for failure that bother your self to success.   - repeated failure cause me to do not pretending many things. Don't be afraid , be afraid to of not facing your fear and failure.   - do not afraid to destroy the system that kill your heart and soul,do not afraid to be alone if it is necessary cause in.

Mambo muhimu kutoka kwa George Soros

Zingatia haya kama kweli unahitaji mafanikio ndani ya maisha yako ya sasa na ya baadae. 1. Kuwa tayari kujitoa mhanga. 2. Kuwa king'ng'nizi. 3. Jifunze kutokana na makosa.            - ipo siri kubwa kujifunza pale unapokosea kuliko unapofanikiwa moja kwa moja kwa sababu kwenye kukosea akili huwa unafanya kazi zaidi . Tofauti na kufanikiwa moja kwa moja una kuwa unasifiwa tu na usipokuwa makini unashindwa unashindwa kujifunza mambo ya msingi. Acha kuchukia makosa Bali kaa chini ujifunze kuyatatua. 4. Kuwa na mtizamo chanya.                 - usiwaze hasara zaidi kuliko faida. Siri ya kufanikiwa ipo kwenye kuyachukulia mambo yako chanya na sio hasi. 5. Acha kujilinganisha na wengine.              -Tafuta mafanikio yako jiamini mwenyewe na kubali Yale yaliyoko ndani mwako kuwa ni bora zaidi. 6. Kuwa mkarimu.         -Maisha hayatabiriki Leo unaweza ...

Bora mafanikio kuliko utajiri

Zingatia na haya katika vita yako ya kupigana na umasikini ili kuendea utajiri. 1. Tulia wakati wa matatizo/changamoto. 2. Zungukwa/zunguka na watu wazuri. 3. Ng'ang'ania kile unachokitaka. 4. Weka gharama chini kadri uwezavyo/ lower your expenses. 5. Jua wapi utaenda kufa ili usipende apo kamwe / jua mapungufu yako na uyageuze kuwa fursa.   JIBU MASWALI HAYA               MATATU  -Je elimu ya juu ni muhimu kwangu?  -Je unapenda kuwa na bosi?  -Wanaokuzunguka wanafikiriaje?

Elimu sio njia ya mafanikio

Jiulize maswali haya matatu bora duniani katika aujaanza kuyakabili maisha upya. 1. Je elimu ya juu ni muhimu kwako? Pamoja na kwamba elimu ni muhimu haiwezi kuchukua nafasi ya kazi kubwa unayotakiwa kufanya unapoanza ujasiriamali. Hivyo kama unaendelea na elimu ya juu ili kupata ujuzi zaidi ni vizuri ila kama unataka kurudi shule ili kukwepa maamuzi magumu unayotakiwa kufanya kama mjasiriamaliunapoteza mida wako 2. Je unapenda kuwa na bosi?   Ni bora kuanzia biashara ukiwa mdogo sana kama hujawahi kufikiria kufanya kazi chini ya MTU. Hivyo kama unaona huwezi kufanya kazi chini ya mtu basi ujasiriamali ndio njia yako. 3. Wanaokuzunguka wanafikiriaje? Kama huwezi kuamua omba ushauri kwa wale wanaokuzunguka . wanaweza kukupa ushauri Mzuri sana na nini unaweza kufanya. Kwa mazingira yetu kuwa makini maana watu wako wa karibu wanaweza kuwa waoga kwenye ujasiriamali hivyo wakakuogopesha. Tafuta MTU Mzuri aliyefanikiwa katika jambo utakalo kulifanya ( expert) akupe ushauri M...

Tafuta mafanikio

Zingatia haya ni muhimu. 1. Umri wako mdogo sio kigezo cha kuacha kuifuata ndoto yako na kuitimiza. 2. Tafuta maarifa na taarifa sahihi juu ya eneo unalotaka kufanikiwa. 3. Some people dream of success , while others wake up and work hard at it. 4. Kuwa karibu na watu kwenye uwezo kwa ajili ya kukuongoza na kukushauri. 5. Ili ufanikiwe kifedha unahitaji kuwa mwangalifu katika matumizi yako ya fedha kila siku. 6. Jifunze kutoka kuliko kupokea. 7. Jiamini na amini unaweza. Ishi ndoto zako 8. Because of you never give up. 9. Failure is simply opportunity to begin again , but this time more intelligently. 10. If you don't find a way to make money while you sleep , you will work until you die. But kumbuka likija swala la fedha usiogope kuipoteza yaani play roughly with money don't play safe.

The road ahead like bill gates

1. Kama mbali na kadi za kusugua au mitandaoni yaani credit card ( mikopo ya benki) wekeza wewe mwenyewe 2. Pesa hazikumuumba MTU Bali MTU ndiye aliyeziumba. 3. Ishi maisha yako halisi na rahisi kama yalivyo. 4. Usitende Yale wengine wayasemayo Bali wasikilize na wewe tenda unayojisikia ni mazuri. 5. Msihatamie vitu vyenye majina. Vaa vitu unavyoona vinakupa raha 6. Usitumie pesa zako vibaya , tumia tu pale kuna uhitaji. 7. Baada ya yote nayo ni maisha yako kwanini uwape wengine wayaongoze maisha yako

Busara za baba

Mambo siku zote huwa mepesi kwa wenye ufahamu, lakini upumbavu wa mpumbavu ni zaidi ya udanganyifu . yaani namaanisha kuwa rafiki wa mpumbavu / mjinga daima am tegemea maumivu . Bado naamini kuwa sio wote wenye mbio washindao vitani,wala sio wore walio hodari washindao vitani, wala sio wote wenye elimu wapatao Mali , wala sio wote wenye uwezo watapewa upendeleo ila naamini katika mambo matatu katika hii dunia kwanza bahati pili mida na mwisho uwezo / ustadi vitu hivyo usivitegemee sana katika maisha yako amino uwezo  unao na pia wapo wengi wenye uwezo kama wako amino unaweza wa kutengeneza mambo ndani ya kichwa chako na yakakusaidia kuwa katika nafasi Fulani , lazima ujue kuwa dunia haina mida wa kutosha hivyo tumia muda sawasawa kila upatapo nafasi usiseme muda hupo ukiamini muda hupo hautafanikisha mambo mengi. Na pia kuna uwezo usifikirie kuwa hauna uwezo,uwezo unao ila haujautumia na kuendeleza ujuzi wako. Lazima ujenge maisha yako kichwani ndipo uyaweke katika maisha ya k...

Kichwa chako mtaji wako

Usikeshe ukilalama kila siku kwamba serekali ya nchi ni mbovu hapana serekali ya kichwa chako ndo kibovu kimeshindwa kukuajiri lazima ukitumie vizuri ili kikuajiri

Amka raia wa Tanzania

Wako vijana wengi wanakesha nyumbani baadala ya kufanya kazi wao wana subiria matokeo tuu kumbe ata simu yako ni ajira tosha anza Leo kupata fedha kwa kutumia mitandao kwa kufungua blog kwa sh.5000 tu ufaidike na fedha kama mshahara na kijikuta unasahau kazi nyingine wasiliana nami kupitia 0743106296 WhatsApp nikutengenezee blog imara na itakayokupa kipato. Usifikiri kutafuta pesa ni paka umalize shule hapana anza kuwekeza Leo kwa kufungua blog yako na kuanzia kuingiza fedha taratibu ukiwa bado darasani fungua kwa bei poa kabisa ya sh.5000 wasiliana nami kupitia 0743106296 jenga maisha yako Leo Leo kijana

Furahi maisha na wewe.

Ni watu wachache wanao kula na kufaidi matunda ya nchi wakati wengine maisha kwao yakiwa ni ya shida, tabu , na matatizo mengi tunayoyajua yanayo mzunguka binadamu. Kichwa chako ndio mtaji wako wewe ambaye bado unaishi maisha yasiyo na ubora kwa sababu MUNGU  alimpa kila aliye muumba kichwa ili kwa kila hatua ya maisha yake atumie akili aliyopewa na Mungu katika kutatua changamoto hizo anazopitia na siyo kuzikimbia kwa kitendo cha kukimbia ni kauli ya kushindwa . Ili ufaidi matunda ya nchi ni lazima ujipange kufaidi Na kufaidi huko ni kwa kuishi maisha ya mafanikio . Ili uweze kuishi huko soma nakala zifuatazo ili ufanikiwe 1. Maendeleo ni fursa 2. Tunaweza kufanikiwa Zilizopo kwenye ukurasa huu huu. Usifikirie kuwa kutafuta fedha ni paka umalize shule hapana anza Leo ata kama uko shule kwa kuanzisha blog yako Leo kwa sh.5000 wasiliana nami kupitia 0743106296 WhatsApp shukrani.

Tunaweza kufanikiwa

Image
Success is the main objective of every young person who wants to have a better life. What better life is a success is because many people have been fighting a desperate quest for success ayo.     You can succeed You must know that you are looking for a successful confidence to succeed you will be a better king to take you in there than successful. Lord Bill gates did not prosper without being confident that he will succeed you must build it in search of progress itself aijalishi where are you or you live what life must know success ayachagui the following achievements are on the lookout the own goals, committed with the hunger to seek riches own wealth and prosperity not created with the knowledge to boast and show the crowd that you need success and wealth of the sha ?? It works. Success brought to the efforts of hard working and focused tirelessly and without desperation and know that it is not necessary to begin working income if they have the ability to not have...

Maendeleo yanapatikanaje?

Maendeleo ni kazi www.mawazoimara@gmail.com Maendeleo ni jitihada Maendeleo ni kujitoa kutafuta mafanikio Maendeleo ni utashi na utayari wa kutumikakiakili na kimwili. Maendeleo ni hasira ya kupambana na upungufu. Maendeleo ni fikra zenye kuona mbali na kutamani mafanikio. Maendeleo ni juhudi na nidhamu. Maendeleo ni wewe. Lazima vijana tuelewe kuwa maendeleo hayatokani na kubweteka na umahiri wa kulalamika hapana maendeleo hayako hivyo wala maendeleo hayatokoni na maombi na miujiza kwamba IPO siku MUNGU akakuwezesha kulala masikini na kukuamsha tajiri mwenyewe maendeleo makubwa hapana. Maendeleo ni kazi na kuchangamkia fursa zilizopo ndani na nje ya uwezo wetu , maendeleo ni jitihada na juhudi zako.   Kila kukicha fursa mpya zinagundulika na zipo zinatuzunguka zinasubiri tuzifanyie kazi. Vijana ni lazima tuchangamkie fursa hizo badala ya kukaa na kubweteka , kulalamika na kushauriana ujinga.  Inawezekanaje kila sina ya simu tunaijua , kila aina ya wasanii tu...

Unataka kuwa mfanyabiashara au mjasiriamali

Bado kuna watu wengi wanaotaka kufanya biashara au ujasiriamali lakini awajuiili swala likoje ndio maana nataka nikuonyeshe mjasiriamali ni nani na mfanyabiashara ni nani??          Tuanze na mfanyabiashara Mfanyabiashara ni yule mtu anaefanya kitu ambacho kipo kwenye jamii na anakuwa na matumaini makubwa kuwa mbeleni ni lazima atafanikiwa anaingia kwenye biashara kwa kufanya kitu ambacho kinafanyika na watu wengine na matokeo take anajua kuwa anapata faida gani kwa sababu ameshaona wenzake wakifanikiwa katika hilo mfanyabiashara hana kitu kipya katika jamii Bali yeye anafanya vitu ambavo wenzake wanafanya na yeye anaingia kufanya akiwa na matumaini makubwa kuwa atafanikiwa katika afanyalo hivyo mtu anaefanya biashara anajua kuwa ni lazima atapata faida na asilimia ndogo sana ya kupata hasara lakini hipo na tunaona Mara nyingi kuwa watu wanafanya biashara Na wanashindwa hii ni kwa sababu hawakujipanga wao walifanya bila kuwa na uelewa makubwa katika hiyo bi...

Fanikisha biashara yako

Ili biashara ifanikiwe ni lazima zitu vingingatiwe ni lazima use mtu wa aina hii ndani  ya biashara yako ili uweze kuwavutia wateja kwa sababu bila wateja biashara yako lazima itakufa wewe kama wewe ili kuikuza biashara yako zingatia hivi utaona mafanikio. Unatakiwa kuwa MTU wa watu autakiwi mda wote uwe serious mda mwingne kuwa mcheshi ili wateja wawe na hamu ya kuja tena biashara ni maongezi ni lazima uwe unajua kuongea na wateja wako lazima wateja wako wawe kama wafalme ahudumie vizuri ili wawe wateja wako waheshimu ata yule mteja wa vitu vidogo vidogo ni lazima umpe heshima take ndipo na yeye ata kupa heshima ya kuna kwako kila Mara anapohitaji huduma yako hili ni lazima liwe akilini mwako ni lazima ujue kuwa biashara nzuri ni maelewano mazuri kati ya mteja na mhudumu aiwezekana kama mmegombana na mteja alafu awe anakuja kwako ni lazima atakukimbia kwahiyo la muhimu ni lazima ujenge uhusiano Mzuri ili wazidikuwa wateja wako uadui ni mwanzo wa kuiua biashara yako ni lazima uj...

Education is not a key to success

Jamii kwa ujumla lazima itambue kuwa bila elimu Tutakuwa na tatizo kubwa sana hivyo kwa ujumla wazaz wanatakiwa kuliweka hili jambo akilini kuwa ni lazima watu waelimike kwani akuna mwenye elimu anayeishi maisha ya ajabu yatupasa jamii kwa ujumla tuwekeze katika kuwapatia watoto wetu elimu.         Umuhimu wa elimu 1. Elimu umuwezesha mtu kuishi vizuri na jamii Hii ni tofauti sana na yule asiye na elimu ata ya msingi. Hataweza kuishi na jamii kwa sababu sio mtu wa kuaminika na kwa hizi jamii zetu ambazo zinampa cheo mwenye elimu yaani mwenye elimu ndio anaonekana bora kuliko asiye na elimu Na kiuhalisia ni kweli kwa sababu mwenye elimu anaupeo mkubwa wa kimaisba kuliko yule asiye na elimu ndio maana naona ni bora wazazi wakafanya kazi yao  ya kuelimisha wanao kwani ni njia nzuri ya kuwajenga kiakili ili kukabiliana na maisha ni vigumu japo inawezekana kwa mtu asiye na elimu ata ya msingi kuyakabili maisha hapa naongelea mtu asiyejua kusoma na kuandika yaani ...

Mambo ya kuzingatia ili kukuza biashara

Wengi tulio na biashara tunahitaji kuzikuza na kuweza kuzifanikisha ila tunasahau kuwa ili kukuza na kufanikisha biashara yako kuna mambo muhimu ya kuzingatia mambo nayo ndio nataka Leo niyaelezee kuanzia moja hadi lingine shuka na Mimi ili tuweze kwenda sawa. Ila kabla ya kuzungumzia ayo mambo matatu ya muhimu nilazima tujue haya mengine ambayo pia ni muhimu katika biashara yoyote hile ambayo nayo yatasaidie kupanua wigo wa biashara yako katika jamii kwanza kabisa katika biashara yako ni lazima uwe na heshima kwa Wateja wako................... Usiwe MTU wa kugombana gomba na wateja wako mteja wako unatakiwa umfanye mfalme aimaanishi umnyenyekee kupita kiasi Bali mhudumie mteja wako vizuri adi na yeye aone amani ndipo atakapo jisikia amani ili kesho arudi tena hivyo utafanya biashara yako ionekane imara usiwe MTU wa kushusha watu thamani yaani unaona mteja huyu ni wa thamani kuliko huyu hii itapelekea kupoteza Wateja na biashara yako ikadorora ukaanza kumtafuta mchawi nani kumbe w...

Wazo imara ni mtaji tosha

Wengi wamekuwa na nia ya kufanya biashara lakini wanashindwa waanzie wapi ila fuatana na Mimi naamini kesho utafanya biashara. Kabla ya yote katika biashara in lazima uwe na lengo la biashara yako au ni lazima uwe na wazo la biashara yako                                                                              WAZO     Biashara yoyote unayoiona watu wakifanya kwa mafanikio lazima walikuwa na wazo la iyo biashara katika wazo namaanisha ujue ni biashara gani unaenda kuifanya lakini tatizo linakuja ni kwamba utapataje hilo wazo si kazi kupata wazo Bali ni uwezo wako wa kuiangalia jamii na kujua jamii inahitaji nini lazima na ni lazima ujue jamii inahitaji nini mfano mzuri ni mtu aliyeko kijijini anatakiwa ajue mjini au apo apo kijijini panahitaji nini ukishajua utakuwa umeshapiga...

Ushauri kwa vijana

Image
Kama tunavojua kuwa vijana ndio nguvu kazi ya jamii hivyo hatuna budi kufanya juu chini ili kuonyesha nguvu kazi yenywe lakini vijana wengi wamesahau hili na kuishia kuketi kwenye vijiwe wakidiscus mambo yasiyo na msingi ktk maisha badala ya kushirikiana na familia zetu katika kuinua uchumi tumegeuka na kuwa wadidimizaji wa uchumi katika familia zetu tunashindana kununua Jordan,supreme,Gucci kwa kutumia fedha ya familia badala ya kukesha kuitafuta iyo hela tunakesha tukiitumia uchumi was familia unashuka na sisi tunazidi kuudidimiza tumegeuka kuwa soko adimu la bidhaa za kielectronic tunakesha ktk mitandao Mara Instagram Mara Facebook Mara Twitter Mara IMO Mara Snapchat atufanyi mambo ya maendeleo zaidi ya kuchat mambo yasiyo na faida na mambo tunayoyajua sio mbaya kuitumia hizi social network Bali tunazitumia vipi kwa maendeleo yetu au ? Tunakesha vijiweni tukisema amna kazi Mara Magufuli kabana tunakesha tukijadili watu badala ya kukesha tukitumia fursa zinazotuzunguka vijana we...

Elimu ni ufunguo wa maisha

Elimu ni mambo ambayo MTU anayapata darasani au kwenye jamii kuhusiana na jambo Fulani hii ndio itakayotusaidia kufungua mafanikio katika maisha yetu ili tufanikiwe tunaitaji kuwa na elimu kabla ya vyote kuhusiana na jambo ambalo tunataka tulifanikishe katika maisha yetu mfano MTU ukitaka kuingia katika biashara lazima ujue kwa undani biashara unayoifanya jinsi utakavyo anza na itakavyo kusaidia uwezi kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bila kuwa na ufunguo ukikosa ufunguo basi utatumia njia isiyo sahihi either kuvunja mlango au yoyote ile ambayo siyo sahihi hivyo hivyo katika maisha unatakiwa uingie katika mafanikio elimu ndio ufunguo mwenyewe utakaoutumia kuingia katika mafanikio yako najua utasema kuna watu wamefanikiwa bila elimu ni sawa wapo waliofanikiwa bila elimu ila unatakiwa ujue njia bora na rahisi ya kufanikiwa ni elimu endapo umefanikiwa na elimu unayo lazima utaweza kujiaendesha pamoja na vitu ulivyo navyo Ila ukikosa elimu utapata tabu sana kwani elimu umwezesha MTU ku...

Safari ya mafanikio

Ni tumaini langu kila MTU anaitaji mafanikio katika maisha yake hivyo safari ha kuyafikia mafanikio yetu ni ndefu sana na yenye vikwazo vingi hata hivyo vikwazo hivyo ndio mafanikio yenyewe kwani tukiyatumia matatizo yanayotukabili kila siku kama fursa tutafanikiwa tatizo linalokukabili ukilitatua tunasema umefanikiwa kwani kwa kupitia matatizo ndipo faida ilipo wewe kama MTU mwenye njaa ya mafanikio utakiwi kuyakimbia matatizo kwani ayo matatizo ndiyo yatakayofungua njia ya mafanikio yako kwani cha kwanza unapata ujasiri(confidence) na kujiamini kama unaweza lakini kukimbia matatizo ni shida sana kwanza inaonyesha wewe si jasiri na haujiamini na hii urudisha nhuma maendeleo ya MTU kwani anakuwa na woga wa kushindwa anachukulia jamii itamwonaje hivyo atashindwa kujaribu mambo yatakayo mletea faida na hii hupelekea tuishi maisha ya kawaida badala maisha zaidi ya hayo ya kawaida kama hao wakina Bakhressa,Mo,Dangote na wakina  Bill Gate wasingekuwa na nia ya kujaribu wangekuwa na mawa...

Kama sio wewe nani kama sio Leo lini?

If it is not you who and if not Leo when The guy who you want success in your life you must have the following items ÷ 1.Malengo (intention) 2. Faith 3.Motivations 4.ELIMU (optional class) 5.role model 6.ACTIONS Ngoja tuchambue moja baada ya lingine 1.malengo Auwezi succeed without the

Positive mobility

Muelekeo  wa maisha yako ya katika fikra zako kama wasemavyo wengi kuwa hatima ya maisha yako uko mikononi mwako hivyo kijana mwenzangu huna budi kuiitumia ipasavyo hiyo hatima ya maisha yako kabla aijaondoka katika maisha yako ni lazima uonyeshe mwelekeo dhabiti na imara na uliojengeka katika kuelekea katika hivyo hatima yako. Hivyo la muhimu katika kuelekea hatima ya maisha yako ni kuonyesha positive mobility yani kuonyesha  mwelekeo ulioko chanya katika  kuelekea hatima yako ya maisha. Hatima yako ni mahali utakapoishia baada ya yote katika maisha kama ni kuwa daktari au mfanyabiashara  hivyo hauna budi kuonyesha mwelekeo chanya haimaanishi kuonyesha mwelekeo chanya katika kujielezea malengo yako kwa wengne japo sio mbaya ila lazima uweke akilini kuwa ni lazima ufanya vitendo kuyafikia ayo unayoyaitaji usikeshe kutafuta sifa kwa mambo ya ajabu ambayo ayatakusaidia  Bali Fanya mambo ya msingi yatakayo kusaidia sifa za maana zikuandame maisha ni maraisi lakin...

Karibu kwenye mawazo imara blog

Blog hii ipo kwa ajiri ya kukupa fikra yakinifu au mawazo imara ambayo yatakusaidia kuboresha maisha yako. Karibu ujifunze mambo mbalimbali kwenye blog hii. Unaweza kuchangia mada ambazo umependezwa nazo kwa kuacha maoni hapo chini. Karibu sana makala na habari zinakujia hapa kila siku. share na marafiki blog hii ukiwa whatsapp facebook intagram twiiter waambie marafiki watembelee www.mawazoimara.blogspot.com