Bora mafanikio kuliko utajiri
Zingatia na haya katika vita yako ya kupigana na umasikini ili kuendea utajiri.
1. Tulia wakati wa matatizo/changamoto.
2. Zungukwa/zunguka na watu wazuri.
3. Ng'ang'ania kile unachokitaka.
4. Weka gharama chini kadri uwezavyo/ lower your expenses.
5. Jua wapi utaenda kufa ili usipende apo kamwe / jua mapungufu yako na uyageuze kuwa fursa.
JIBU MASWALI HAYA
MATATU
-Je elimu ya juu ni muhimu kwangu?
-Je unapenda kuwa na bosi?
-Wanaokuzunguka wanafikiriaje?
1. Tulia wakati wa matatizo/changamoto.
2. Zungukwa/zunguka na watu wazuri.
3. Ng'ang'ania kile unachokitaka.
4. Weka gharama chini kadri uwezavyo/ lower your expenses.
5. Jua wapi utaenda kufa ili usipende apo kamwe / jua mapungufu yako na uyageuze kuwa fursa.
JIBU MASWALI HAYA
MATATU
-Je elimu ya juu ni muhimu kwangu?
-Je unapenda kuwa na bosi?
-Wanaokuzunguka wanafikiriaje?
Comments