Posts

Showing posts from April, 2017

Unataka kuwa mfanyabiashara au mjasiriamali

Bado kuna watu wengi wanaotaka kufanya biashara au ujasiriamali lakini awajuiili swala likoje ndio maana nataka nikuonyeshe mjasiriamali ni nani na mfanyabiashara ni nani??          Tuanze na mfanyabiashara Mfanyabiashara ni yule mtu anaefanya kitu ambacho kipo kwenye jamii na anakuwa na matumaini makubwa kuwa mbeleni ni lazima atafanikiwa anaingia kwenye biashara kwa kufanya kitu ambacho kinafanyika na watu wengine na matokeo take anajua kuwa anapata faida gani kwa sababu ameshaona wenzake wakifanikiwa katika hilo mfanyabiashara hana kitu kipya katika jamii Bali yeye anafanya vitu ambavo wenzake wanafanya na yeye anaingia kufanya akiwa na matumaini makubwa kuwa atafanikiwa katika afanyalo hivyo mtu anaefanya biashara anajua kuwa ni lazima atapata faida na asilimia ndogo sana ya kupata hasara lakini hipo na tunaona Mara nyingi kuwa watu wanafanya biashara Na wanashindwa hii ni kwa sababu hawakujipanga wao walifanya bila kuwa na uelewa makubwa katika hiyo bi...

Fanikisha biashara yako

Ili biashara ifanikiwe ni lazima zitu vingingatiwe ni lazima use mtu wa aina hii ndani  ya biashara yako ili uweze kuwavutia wateja kwa sababu bila wateja biashara yako lazima itakufa wewe kama wewe ili kuikuza biashara yako zingatia hivi utaona mafanikio. Unatakiwa kuwa MTU wa watu autakiwi mda wote uwe serious mda mwingne kuwa mcheshi ili wateja wawe na hamu ya kuja tena biashara ni maongezi ni lazima uwe unajua kuongea na wateja wako lazima wateja wako wawe kama wafalme ahudumie vizuri ili wawe wateja wako waheshimu ata yule mteja wa vitu vidogo vidogo ni lazima umpe heshima take ndipo na yeye ata kupa heshima ya kuna kwako kila Mara anapohitaji huduma yako hili ni lazima liwe akilini mwako ni lazima ujue kuwa biashara nzuri ni maelewano mazuri kati ya mteja na mhudumu aiwezekana kama mmegombana na mteja alafu awe anakuja kwako ni lazima atakukimbia kwahiyo la muhimu ni lazima ujenge uhusiano Mzuri ili wazidikuwa wateja wako uadui ni mwanzo wa kuiua biashara yako ni lazima uj...

Education is not a key to success

Jamii kwa ujumla lazima itambue kuwa bila elimu Tutakuwa na tatizo kubwa sana hivyo kwa ujumla wazaz wanatakiwa kuliweka hili jambo akilini kuwa ni lazima watu waelimike kwani akuna mwenye elimu anayeishi maisha ya ajabu yatupasa jamii kwa ujumla tuwekeze katika kuwapatia watoto wetu elimu.         Umuhimu wa elimu 1. Elimu umuwezesha mtu kuishi vizuri na jamii Hii ni tofauti sana na yule asiye na elimu ata ya msingi. Hataweza kuishi na jamii kwa sababu sio mtu wa kuaminika na kwa hizi jamii zetu ambazo zinampa cheo mwenye elimu yaani mwenye elimu ndio anaonekana bora kuliko asiye na elimu Na kiuhalisia ni kweli kwa sababu mwenye elimu anaupeo mkubwa wa kimaisba kuliko yule asiye na elimu ndio maana naona ni bora wazazi wakafanya kazi yao  ya kuelimisha wanao kwani ni njia nzuri ya kuwajenga kiakili ili kukabiliana na maisha ni vigumu japo inawezekana kwa mtu asiye na elimu ata ya msingi kuyakabili maisha hapa naongelea mtu asiyejua kusoma na kuandika yaani ...

Mambo ya kuzingatia ili kukuza biashara

Wengi tulio na biashara tunahitaji kuzikuza na kuweza kuzifanikisha ila tunasahau kuwa ili kukuza na kufanikisha biashara yako kuna mambo muhimu ya kuzingatia mambo nayo ndio nataka Leo niyaelezee kuanzia moja hadi lingine shuka na Mimi ili tuweze kwenda sawa. Ila kabla ya kuzungumzia ayo mambo matatu ya muhimu nilazima tujue haya mengine ambayo pia ni muhimu katika biashara yoyote hile ambayo nayo yatasaidie kupanua wigo wa biashara yako katika jamii kwanza kabisa katika biashara yako ni lazima uwe na heshima kwa Wateja wako................... Usiwe MTU wa kugombana gomba na wateja wako mteja wako unatakiwa umfanye mfalme aimaanishi umnyenyekee kupita kiasi Bali mhudumie mteja wako vizuri adi na yeye aone amani ndipo atakapo jisikia amani ili kesho arudi tena hivyo utafanya biashara yako ionekane imara usiwe MTU wa kushusha watu thamani yaani unaona mteja huyu ni wa thamani kuliko huyu hii itapelekea kupoteza Wateja na biashara yako ikadorora ukaanza kumtafuta mchawi nani kumbe w...

Wazo imara ni mtaji tosha

Wengi wamekuwa na nia ya kufanya biashara lakini wanashindwa waanzie wapi ila fuatana na Mimi naamini kesho utafanya biashara. Kabla ya yote katika biashara in lazima uwe na lengo la biashara yako au ni lazima uwe na wazo la biashara yako                                                                              WAZO     Biashara yoyote unayoiona watu wakifanya kwa mafanikio lazima walikuwa na wazo la iyo biashara katika wazo namaanisha ujue ni biashara gani unaenda kuifanya lakini tatizo linakuja ni kwamba utapataje hilo wazo si kazi kupata wazo Bali ni uwezo wako wa kuiangalia jamii na kujua jamii inahitaji nini lazima na ni lazima ujue jamii inahitaji nini mfano mzuri ni mtu aliyeko kijijini anatakiwa ajue mjini au apo apo kijijini panahitaji nini ukishajua utakuwa umeshapiga...

Ushauri kwa vijana

Image
Kama tunavojua kuwa vijana ndio nguvu kazi ya jamii hivyo hatuna budi kufanya juu chini ili kuonyesha nguvu kazi yenywe lakini vijana wengi wamesahau hili na kuishia kuketi kwenye vijiwe wakidiscus mambo yasiyo na msingi ktk maisha badala ya kushirikiana na familia zetu katika kuinua uchumi tumegeuka na kuwa wadidimizaji wa uchumi katika familia zetu tunashindana kununua Jordan,supreme,Gucci kwa kutumia fedha ya familia badala ya kukesha kuitafuta iyo hela tunakesha tukiitumia uchumi was familia unashuka na sisi tunazidi kuudidimiza tumegeuka kuwa soko adimu la bidhaa za kielectronic tunakesha ktk mitandao Mara Instagram Mara Facebook Mara Twitter Mara IMO Mara Snapchat atufanyi mambo ya maendeleo zaidi ya kuchat mambo yasiyo na faida na mambo tunayoyajua sio mbaya kuitumia hizi social network Bali tunazitumia vipi kwa maendeleo yetu au ? Tunakesha vijiweni tukisema amna kazi Mara Magufuli kabana tunakesha tukijadili watu badala ya kukesha tukitumia fursa zinazotuzunguka vijana we...

Elimu ni ufunguo wa maisha

Elimu ni mambo ambayo MTU anayapata darasani au kwenye jamii kuhusiana na jambo Fulani hii ndio itakayotusaidia kufungua mafanikio katika maisha yetu ili tufanikiwe tunaitaji kuwa na elimu kabla ya vyote kuhusiana na jambo ambalo tunataka tulifanikishe katika maisha yetu mfano MTU ukitaka kuingia katika biashara lazima ujue kwa undani biashara unayoifanya jinsi utakavyo anza na itakavyo kusaidia uwezi kuingia ndani ya nyumba iliyofungwa bila kuwa na ufunguo ukikosa ufunguo basi utatumia njia isiyo sahihi either kuvunja mlango au yoyote ile ambayo siyo sahihi hivyo hivyo katika maisha unatakiwa uingie katika mafanikio elimu ndio ufunguo mwenyewe utakaoutumia kuingia katika mafanikio yako najua utasema kuna watu wamefanikiwa bila elimu ni sawa wapo waliofanikiwa bila elimu ila unatakiwa ujue njia bora na rahisi ya kufanikiwa ni elimu endapo umefanikiwa na elimu unayo lazima utaweza kujiaendesha pamoja na vitu ulivyo navyo Ila ukikosa elimu utapata tabu sana kwani elimu umwezesha MTU ku...

Safari ya mafanikio

Ni tumaini langu kila MTU anaitaji mafanikio katika maisha yake hivyo safari ha kuyafikia mafanikio yetu ni ndefu sana na yenye vikwazo vingi hata hivyo vikwazo hivyo ndio mafanikio yenyewe kwani tukiyatumia matatizo yanayotukabili kila siku kama fursa tutafanikiwa tatizo linalokukabili ukilitatua tunasema umefanikiwa kwani kwa kupitia matatizo ndipo faida ilipo wewe kama MTU mwenye njaa ya mafanikio utakiwi kuyakimbia matatizo kwani ayo matatizo ndiyo yatakayofungua njia ya mafanikio yako kwani cha kwanza unapata ujasiri(confidence) na kujiamini kama unaweza lakini kukimbia matatizo ni shida sana kwanza inaonyesha wewe si jasiri na haujiamini na hii urudisha nhuma maendeleo ya MTU kwani anakuwa na woga wa kushindwa anachukulia jamii itamwonaje hivyo atashindwa kujaribu mambo yatakayo mletea faida na hii hupelekea tuishi maisha ya kawaida badala maisha zaidi ya hayo ya kawaida kama hao wakina Bakhressa,Mo,Dangote na wakina  Bill Gate wasingekuwa na nia ya kujaribu wangekuwa na mawa...

Kama sio wewe nani kama sio Leo lini?

If it is not you who and if not Leo when The guy who you want success in your life you must have the following items ÷ 1.Malengo (intention) 2. Faith 3.Motivations 4.ELIMU (optional class) 5.role model 6.ACTIONS Ngoja tuchambue moja baada ya lingine 1.malengo Auwezi succeed without the

Positive mobility

Muelekeo  wa maisha yako ya katika fikra zako kama wasemavyo wengi kuwa hatima ya maisha yako uko mikononi mwako hivyo kijana mwenzangu huna budi kuiitumia ipasavyo hiyo hatima ya maisha yako kabla aijaondoka katika maisha yako ni lazima uonyeshe mwelekeo dhabiti na imara na uliojengeka katika kuelekea katika hivyo hatima yako. Hivyo la muhimu katika kuelekea hatima ya maisha yako ni kuonyesha positive mobility yani kuonyesha  mwelekeo ulioko chanya katika  kuelekea hatima yako ya maisha. Hatima yako ni mahali utakapoishia baada ya yote katika maisha kama ni kuwa daktari au mfanyabiashara  hivyo hauna budi kuonyesha mwelekeo chanya haimaanishi kuonyesha mwelekeo chanya katika kujielezea malengo yako kwa wengne japo sio mbaya ila lazima uweke akilini kuwa ni lazima ufanya vitendo kuyafikia ayo unayoyaitaji usikeshe kutafuta sifa kwa mambo ya ajabu ambayo ayatakusaidia  Bali Fanya mambo ya msingi yatakayo kusaidia sifa za maana zikuandame maisha ni maraisi lakin...

Karibu kwenye mawazo imara blog

Blog hii ipo kwa ajiri ya kukupa fikra yakinifu au mawazo imara ambayo yatakusaidia kuboresha maisha yako. Karibu ujifunze mambo mbalimbali kwenye blog hii. Unaweza kuchangia mada ambazo umependezwa nazo kwa kuacha maoni hapo chini. Karibu sana makala na habari zinakujia hapa kila siku. share na marafiki blog hii ukiwa whatsapp facebook intagram twiiter waambie marafiki watembelee www.mawazoimara.blogspot.com